@sarahmwamwela4181منذ 4 سنواتMungu akupe maisha marefu Rais wetu!!! 2
@
@emmanuelmwakyusa4119منذ 4 سنواتBlessed president J .P. Magufuli ,, Tanzanians benefits much with your extraordinary performance throughout all developmental sector and preventing corruption, id="hidden2" class="buttons"> misuse of their natural development that triggers national development. ....وسعت
@
@matukiosafaris6508منذ 4 سنواتSina la kusema ila mwenyezi mungu akupe maisha marefu Rais wetu John Pombe Magufuli unaipeleka nchi yetu mahali pazuri tunajua kuna misukosuko lazima itokee id="hidden3" class="buttons"> lakini sisi wananchi tunajua nia yako ni kutupeleka sehemu nzuri sana na kila mwananchi afurahie kuzaliwa mtanzania Mungu akubariki sana ....وسعت3
@
@aminamwangairo2757منذ 4 سنواتLove Tanzania . Kula yangu inakusubili Rais wetu 6
@
@fridathomassen5898منذ 4 سنواتCongratulations President Magufuli for the good job you have done in your first term. You have done a lot in a period of five years as President.
@
@elizabethmwita244منذ 4 سنواتZats my presidentits such a blessing to have u as our President
@
@crissjulip3159منذ 4 سنواتMungu akupe maisha marefu yenye mafanikio zaidi asante kwa kuleta maendleo makubwa I love Tanzania 2
@
@rinovarthiliwi1314منذ 4 سنواتKwa mambo aliyowafanyia Watanzania kuwafukuza watu 15,008 bila kuwalipa mishahara na marupurupu yao Magufuli kushinda kura na wabunge wake mpaka id="hidden4" class="buttons"> waibe kura kama Mwaka 2015. CCM na Magufuli walihusika kuiba kufilisi Matajiri wenye kutoa ajira kwa Watanzania. Walihusika kuteka fedha za kigeni kwenye maduka ya Dar es salaam, Arusha, Moshi, Mwanza na kwingineko na kutumia fedha kununulia ndege. Wametumia Polisi kuwateka, Kuwapiga na Kuwaua Watanzania wasaio na hatia. Kutumia kodi za Watanzania kufanya hayo aliyoyafanya bila hata kutumia invoice na risiti haina maana kuwa Watamchagua. Kila Mtanzania anao uwezo wa kuongoza nchi na kufanya hata zaidi ya hayo aliyoyafanya bila kuiba. Tutakuwa na imani gani kuwa hajaibia Watanzania wakati hana mahali popote alipoandika matumizi ya fedha za Serekali huku anamwaga mapesa kila anakopita hizi fedha zinaandikwa wapi. Watanzania msikubali kuwekewa pazia machoni na wengi wenu ni wasomi. Wabunge wa CCM kule Bungeni wanapewa pesa kwenye bahasha kupitisha baadhi ya miswada ambayo haina tija kwa taifa kwa kutumia uwingi wao. Bila kuiba kura CCM haitoboi. ....وسعت
@
@sedekiafulgensi6844منذ 4 سنواتHatuna cha kukulipa raisi wetu Dr.Magufuli sisi watanzania tunasema mungu akulinde xana kwa kazi nzuri mitano tunakupa tena. 2
@
@aminaabdiabdi7112منذ 4 سنواتI love my president ❤️ maguful Baba Laooo thanks for almighty kkleta ATA c lazima ku votes we kalia kiti endelea kpiga kazi much respect Mr president 3
@
@rehemashaban6858منذ 4 سنواتHongera sana baba ukirudi tena fatilia sana mabarozi wako wote ili wajue raia wao waliopo ktk nchi walizopo, pamoja na mishahara ilituzidi kuchangia nchi yetu nipo . Dubai 5
@
@deborahnasson5521منذ 4 سنواتMungu ibariki Tanzania Mungu wabariki viongozi wa Tanzania. 2
@
@mchungajijesse4593منذ 4 سنواتNakupongeza mhe raisi. Mungu akupe uzima kweli kazi umeipiga. 2
@
@salhamrishoaish9292منذ 4 سنواتNipo mbali lakini natamani kupiga kura natamani wa tz tuliokuwa nje tungewekewa utaratibu wa kupiga kuralove tanzania nakupenda pia rais wangu maendeleo tunayaona unasifiwa 3
@
@luturinakivaria6565منذ 4 سنواتIkibidi katiba ya kipengele cha miaka ya urais iboreshwe , magu aendelee miaka 20 , magu woooyooo, hongera sana babas 2
@
@salmaathuman9156منذ 4 سنواتAhsante mungu kwa kutuletea jembe magufuli love tanzania 9
@
@zenasalehe3306منذ 4 سنواتInnshallah mungu akuweke Rais wetu miaka Kama yote
@
@izzode634منذ 4 سنواتWe very proud 2have a president like you in our country thanks load 1
@
@edwinepaul7745منذ 4 سنواتHongera sana kwa kazi nzuri ya kitume uloifanya mh . prsd. JPM !! 1
@
@benjaminjoseph1747منذ 4 سنواتWewe baba Mungu akubariki. Mwenye kukulaani itamrudi mwenyewe kwani mwenyewe macho haambiwi tazama. Mabadiliko tumeyaona kwa macho yetu. Na tusiposhukuru id="hidden8" class="buttons"> si haki machoni pa Mungu. Ubarikiwe sana. Mungu ibariki Tanzania na watu wake ....وسعت1
@
@mariyammariyam971منذ 4 سنواتAllah azid kukusimamia yan kama itawezekana Katiba ibadiriswe iliuendelee kuongoz TZ kama utakua hai 2
@
@conslatorjossy3951منذ 4 سنواتMagufuli oyeeeee.hongera baba ,hapa n kaz tuu,..maisha marefu magu. 4
@
@selemanramadhan3482منذ 4 سنواتHakuna namna nikumshukuru mungu peke yake coz bila yeye yasingekuwa haya ❤ 7
@
@khatibkhatib2249منذ 4 سنواتNasisimka saanaa mwili wangu kwa hotuba zako baba maghufuli 4
@
@rosesaid40منذ 4 سنواتHongera sana rais wetu kwa juhudi zako
@
@shokaali3527منذ 4 سنواتAsante Mungu kwa kutupa kiongozi huyu kwa kweli amefanya vizuri sana watanzania tunajivunia hili jembe. Asieona usimwambie tazama wacha wapige kelele wewe ni jembe 5
@
@silvergas6696منذ 4 سنواتni vyema muheshimiwa mambo unayofanya sio mabaya kila mtanzania anaitikia kwa nguvu 1
@
@emmanuelmwakyusa4119منذ 4 سنواتThat is an extraordinary president ALL the Time.
@
@moviesstorehub7827منذ 4 سنواتPresident of united republic of Tanzania Chuma jpm 2
@
@innocentpatrick813منذ 4 سنواتHongera Sana Mh. Rais kwa hotuba nzur na yakupendeza, Lakini pia tuendelee kuchukuwa tahadhari juu ya janga la Covid19 4
@
@mariamm2724منذ 4 سنواتAsnt mungu kwa kutupatia kiongozi nwadolifu anayejuwa kuchapa kazi na mwenye hofu ya mungu 2
@
@drackjohn8805منذ 4 سنواتYes haya ndio maendeleo mr lovely President 1
@
@afrikanslooktz224منذ 4 سنواتHadi rahaaa, Ila pia ujue ukiwa na mtaji mdogo na hujui ufanye biashara gani ikutoe njoo upate mbinu mbalimbali kujikwamua kiuchumi, Karibu sana sana Follow me insta @@mapishi_zona 2
@
@elizabethmbiri477منذ 4 سنواتHongera jembe letu shule oyeee maana tulichoka kukaa home 4
@
@ashajuma6432منذ 4 سنواتHongera sana mhe. Rais tunakukubali kabisaa.hotuba nzuri na yenye mantiki kabisaa. Mungu akukusimamie Amiin. 4
@
@idaroselle4755منذ 4 سنواتAsante kabisa bafungule batu bana teswa bure Africa mukatale vaccines ya wazungu kwa kua hapa Canada bado vaccin hajapo bado kabisa mukatale 2
@
@manaseelias2351منذ 4 سنواتMagufuli kampeni usifanye wasalimie tu wananchi maana ikulu yako baba mungu akupe neema ya kimbingu maana anakusudi jema na tanzania 2
@
@mwadiabulymoshabani6336منذ 4 سنواتMagufuli hoyeeeeee, Mimi naona ikiwa vyama vya upinzani ,vinapenda maendeleo ya Tz. Wamuache Magufuli aendeleee tu maana anaiweza nchi hii 6
@
@pendomkumbo8262منذ 4 سنواتBora turudi kazini walimu tumechoka kulala maana mbavu zinauma,pia watoto wetu wakasome maana walianza kupoteza dira. 11
@
@luturinakivaria6565منذ 4 سنواتAsante sana jembee kura zote za uraisi juu yakoo. Ila tusaidie NSSF Wanatutesa sana na mafao yetu. Tunaomba uliangalie hilo 3
@
@marymfugwa847منذ 4 سنواتWatumishi wa sekta binafsi hasa upande wa elimu tulikuwa na hali ngumu hakuna mshahara wa posho!. 3
@
@kisenasamson2520منذ 4 سنواتMwenyewe hata kichwa akium najua rais tayar 1
@
@thadeimsoma7295منذ 4 سنواتAsante sana rais wangu kwa kumfukuza mkurugenzi hapa arusha wizi ulikuwa umezidi nimelipishwa kodi ya panga sh,375000 za uwongo ukiwaonyesha risiti wanakataa id="hidden11" class="buttons"> wanakuambia labda ukatafute risiti zingine hiyo almashauri yote imeoza wote ni waizi wanatakiwa wote wafukuzwe, ....وسعت
@
@ajunakarumuna8267منذ 4 سنواتWoyoooooooooooo Go back at school Nlikuwa nmemiss shule balaaa 5
@
@evamwimike7355منذ 4 سنواتWacha niendelee kumshukuru Mungu kwa kila jambo.nchi yangu n zawad kubwa sana ntaipenda daima Tanzania yangu. 3
@
@husnahassan6289منذ 4 سنواتRais wetu mwema kiongozi wetu shupavu Asante sana Mungu tunakuomba ututuzie JPM WETU AMEEN 3
@
@radhiambwana8787منذ 4 سنواتUmefanya kazi kubwa Rais kwakwel kura zako zipo wazi kabsa! ila ukumbke wawekezaji kuwapunguzia kodi maan wao ndowanao ajiri asilimia 80 ya wananchi wako. Nakupunguza makali ya umasikini. 15
@
@familyserver4836منذ 4 سنواتHabari, natoa huduma ya kutangaza biashara online kwenye YouTube na Facebook. Nicheck +255 745 521 126
@
@salumkhamis7818منذ 4 سنواتHizo takwimu zote zinatoka kichwani bila kusoma popote umetisha hiki ni kichwa jamani tukubal tu 1
@
@godcompeter9844منذ 4 سنواتIyo ni campen tosha we kachukue fom tu kama ushaidi kura milion 50 ni zako muheshimiwa 8
@
@irrinendanu9756منذ 4 سنواتAm from Kenya,but proud of Dr John Magufuli ,but my question Tanzanian, have you fought the covid -19 no one with mask here and social distance
@
@ameyashey3174منذ 4 سنواتKwahiyo wapinzaNi wapo hapo wanasikiliza au ndio wametimkaa nje♀️♀️e 5
@
@priscamasanga8856منذ 4 سنواتChezea magu weweee mtampenda tu wale wote mlokua mnamtolea povu haya sasaa mtajibeba 3
@
@Honest_Manمنذ 4 سنواتIn Kenya,schools will reopen in September. 5
@
@happinessmushi2294منذ 4 سنواتraisi Magufuli ni genius aisee hizi numbers za pesa sioni ukisoma mahali 4
@
@michaelhyungim8174منذ 4 سنواتI'm just asking guys, how the hell did he memories all that stuff. Because I couldn't see any iPad or any paper there 6
@
@nashonshimba7997منذ 4 سنواتHuyu msukuma n shida hotuba yote kichwan hata tramp hawez hii feerstaili
@OlengaMakeUpKhjfj5bf4hdbمنذ 4 سنواتWale walio kua wakiuliza rais ana Wezaj kuhutub hana paper wala iPad He used teleprompter, that 2 Bleu mirror behind him. But support me for Subscribe pls 3
Mungu akubariki sana ....وسعت 3
mishahara na marupurupu yao Magufuli kushinda kura na wabunge wake mpaka id="hidden4" class="buttons">
waibe kura kama Mwaka 2015. CCM na Magufuli walihusika kuiba kufilisi
Matajiri wenye kutoa ajira kwa Watanzania. Walihusika kuteka fedha za
kigeni kwenye maduka ya Dar es salaam, Arusha, Moshi, Mwanza na
kwingineko na kutumia fedha kununulia ndege. Wametumia Polisi kuwateka,
Kuwapiga na Kuwaua Watanzania wasaio na hatia. Kutumia kodi za
Watanzania kufanya hayo aliyoyafanya bila hata kutumia invoice na risiti
haina maana kuwa Watamchagua. Kila Mtanzania anao uwezo wa kuongoza
nchi na kufanya hata zaidi ya hayo aliyoyafanya bila kuiba. Tutakuwa na
imani gani kuwa hajaibia Watanzania wakati hana mahali popote
alipoandika matumizi ya fedha za Serekali huku anamwaga mapesa kila
anakopita hizi fedha zinaandikwa wapi. Watanzania msikubali kuwekewa
pazia machoni na wengi wenu ni wasomi. Wabunge wa CCM kule Bungeni
wanapewa pesa kwenye bahasha kupitisha baadhi ya miswada ambayo haina
tija kwa taifa kwa kutumia uwingi wao. Bila kuiba kura CCM haitoboi. ....وسعت
Mungu ibariki Tanzania na watu wake ....وسعت 1
Chuma jpm 2
ikutoe njoo upate mbinu mbalimbali kujikwamua kiuchumi, Karibu sana sana
Follow me insta @@mapishi_zona 2
Go back at school
Nlikuwa nmemiss shule balaaa 5