المدة الزمنية 2:16:20

LIVE: RAIS SAMIA AKIFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA KUJADILI HALI YA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI NCHINI

بواسطة Millard Ayo
13 144 مشاهدة
0
50
تم نشره في 2021/12/15

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 15 Desemba, 2021 anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Kujadili Hali ya Demokrasia ya Vyama Vingi Nchini utakaofanyika kayika Ukumbi wa Hazina, Jijini Dodoma.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0