Waziri wa Maji, Juma Aweso amekagua ujenzi wa tenki la maji Buswelu wilayani Ilemela na kuagiza mradi huo ulioanza mwaka 2017 kukamilika na kutoa huduma kwa wananchi. Waziri Aweso pia alikagua utandazaji mabomba ya maji kutoka chanzo cha maji Butimba kwenda maeneo mbalimbali ikiwemo Igoma wilayani Nyamagana.
Tovuti @BMG BLOG https://www.bmgblog.co.tz/
Facebook @BMG HABARI https://web.facebook.com/bmghabari
Twitter @bmghabari https://twitter.com/bmghabari
Instagram @bmghabari https://www.instagram.com/bmghabari/
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI #PamojaDaimaBMG