Ni kilimo chenye faida kinachompa mkulima faida ndani ya miaka miwili na nusu. Katika kilimo hichi gharama ni katika hatua za awali tu, lakini baada ya hapo utaanza kuvuna mfululizo kwa miaka mingi.
Katika shamba la maembe unaweza kufanya kilimo mseto kwa kuongeza ufugaji wa nyuki.