المدة الزمنية 2:14

AGIZO LA MKUU WA MKOA WA DODOMA KWA WAZAZI .

بواسطة SAVP TV
70 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2021/12/22

Mkuu wa mkoa wa Dodoma ametoa maelekezo kwa wazazi na walezi wa mkoa wa Dodoma kuhakikisha kuwa ifikapo January 7/2022 kuhakikisha watoto wao wameshapelekwa shule. Ameyasema hayo punde baada ya kukagua utekelezaji wa madarasa yaliyotokana na fedha zilizotolewa na Rais Wa Tanzania ,Samia Suluhu Hassan.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0