المدة الزمنية 1:29

DARAJA LAKATIKA WANAFUNZI WAGEUKA MATRAFIKI WAZUIA MAGARI KUPITA

بواسطة KAGERA TV
78 مشاهدة
0
3
تم نشره في 2020/03/13

Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa nchini zimesababisha kukatika kwa daraja katika barabara kuu ya Rusahunga Biharamulo mkoani Kagera na kusababisha baadhi ya safari kukwama kwa watu wa magari yaendayo mikoani kutokea Bukoba.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0