Simba SC huenda wakatangaza ubingwa wao wa nne mfululizo kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara endapo watapata sare au ushindi katika mchezo wao wa leo dhidi ya Coastal Union. Mechi inapigwa saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam na kukufikia LIVE #AzamSports1HD.
Muda huu ni uchambuzi kuelekea mchezo huo, studio ukiwa na
Endelea kufuatilia Taarifa ya Habari Wikiendi kutoka #Azam UTV kupitia kisimbuzi cha #aAzamTV
Tufuatilie pia kwenye mitandao ya kijamii;
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/
►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz
►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz