@suzanakipanga703منذ 3 سنواتLamata huko vizuri sana dada nakupenda sana tu namba zako za simu tunazipata wapi? Na mbaye anazo basi tusaidiyane jamani 4
@ignasbukombe9225منذ 3 سنواتCast nyingine ni Noel Ndale LAMATA LEAH 2
@
@hassansaul7098العام الماضيNi kweli aliposema Madam, dairiketa mzuri ni yule ambae anapenda kuona kitu chake kinaenda vizuri
@
@joycelucas374قبل 10 أشهرJaman dada m nakupend sana naomba namba ako please mmi naomba namba ata we mwandishi nisaidie tafadhal namba ake
@
@winfridadominancy3492منذ 3 سنواتLeo umesema kwakilefu jina lk ndio nikakufaham nakusikia mda mlefu toka nikiwa mdogo watu wawilayan kwetu walikua wakijivunia kua nakijana mtangazazi kalibu kwimba tena 1
@
@themagadirمنذ 3 سنواتMimi naulizia vipi season 2 ya kapuni? Jamani nimei miss sana I miss scene ya uncle robert and the young boy 3
@
@stevenabraham3165العام الماضيMaliz movie tumechoka lamata visa haviishi
@
@dama4995منذ 3 سنواتMm nauliza kuhusu kapuni ndo iliixha ama vp
@
@happinessalum8063منذ 3 سنواتLamata ni motoo i wish one day nitafanya nae kazii 8
@
@beautyibrahim8428منذ 3 سنواتAta mm huwa najiuliza kwann yupo karibu na dorah sanaa umeniulizia swali langu 1
@
@mrsliverpool4235منذ 3 سنواتSky niunge nifanye nae kazi jamani nampenda sana 3
@
@montanaprimeمنذ 3 سنواتKwenye Hilo scene ya Mahindi kukatwa, kweli drone shot was the appropriate one, yani niliumia utadhani mahindi yalikuwa yangu vile. Hongera sana. 2
@
@khasamentertainment4269منذ 3 سنواتHahaaa wacha nicheke yani sisi tunaofanya filamu tunapata tabu sana hususan uwe dierector duuh kulia kawaida tu maana unafika muda unachanganyikiwa hususani ukiwa makini na kazi yako. 3
@
@saraenock7600منذ 3 سنواتUwiiiii jamani we dada nakupenda sana nawish nkikutana nawe nawaka 1
@
@daynegallis8926منذ 3 سنواتKwani jamani kuna anaejua ofisi yake huyu mama ya lamata village intertainment?
@
@msowamhokole7714منذ 3 سنواتMasako kaishiwa ndio maana umempata kiulaisi
@
@safiyatheonlything7848منذ 3 سنواتTuliyo nje mtuangalie kwa jicho la tatu mtuwekee YouTube 1
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Lamata Leah afunguka kuhusu alivyoisuka tamthilia ya Jua Kali, Dorah, penzi la Kajala na Harmonize: