المدة الزمنية 11:47

Nyumba mpya ya HAMISA mobetto yaibua makubwa Watu hawataki kuamini wanacho kiona

بواسطة Mwendokasi Tv
87 876 مشاهدة
0
451
تم نشره في 2020/01/20

#hamisa #nyumba #mwendokasitv Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu. FOLLOW US Follow on Instagram: https://www.instagram.com/mwendokasitv/ Follow on Facebook: https://web.facebook.com/mwendokasimedia/

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 131
  • @
    @ashapearubart2624منذ 4 سنوات ina bidi tuamini. Kwamaana anajituma. Hongera sana. 14
  • @
    @sarawaziri4400منذ 4 سنوات Katka kitu huwa nafurahia,ni mafanikio ya wale waliodharauliwa,Mungu akuinue zaidi ya hapo 21
  • @
    @hassangabriel4603منذ 4 سنوات Let her prosper.. Made more live long Hamisa from Kenya bgapu sana 8
  • @
    @mwanahalimamwachili9679منذ 4 سنوات Mabrooq Alf Mabrooq Hamisa,Binadamu Kusema ni kwao na hawachaguliwi la Kusema. Hongera Sana. 2
  • @
    @shekhafilfil163منذ 4 سنوات Hongera sana misa bado mdogo sana hamisa kumiliki nyumba hongera mwari 5
  • @
    @halimams2127منذ 4 سنوات hongera sana hamisa mungu hamtupi mja wake ubarikiwe sana uzidi kusonga.mbele mama 1
  • @
    @baranmohamedmbashir5299منذ 4 سنوات Mungu akupe afya njema inshallah akubariki inshallah 1
  • @
    @halimahalima4892منذ 4 سنوات Honger san dad Hamish mung atakuxmamia waache waxme we fwat yako 3
  • @
    @masharubundevu3765منذ 4 سنوات Mungu akuongoze akufanyie wps kwa kila jambo 1
  • @
    @salomessmart9814منذ 3 سنوات Hakika Mungu aendelee kukuinua zaidi hamisa
  • @
    @clementineraloo4891منذ 4 سنوات Hamisa tunakupenda.pongesi kwako mrembo 1
  • @
    @sadiaabed6687منذ 4 سنوات Watu hawaamini kwa hamisa maana anapenda kiki sana kama gari ya kiki lakini itakuwa vizuri mama diamond atahayari ikiwa itakuwa ana nyumba huo jamisa isijeikawa nikiki 2
  • @
    @zainabubanda7683منذ 4 سنوات Nampenda uyu dad anavo pangilia mavazi 1
  • @
    @olgacaleb2790منذ 4 سنوات Hamna cha mjengo wala nini. Ila me hua nakuaminia Dada kwa kazi yako nzuri but kwa hili litakupa uongo shogangu mchengo apo amna 1
  • @
    @celinekanda1850منذ 4 سنوات Wewe mnafki ulisema misa hana chochote for you info shez going to launch mobetto hairs 3
  • @
    @khadijaoman4085منذ 4 سنوات ❤pongezi kwake maana wasanii wengi wanahiyari wakodi majumba ya kifahari kuliko kujenga hususan wasanii wakike akili zao zote zipo kwenye maurembo 2 na sifa za kijinga 9
  • @
    @najmaanajma1195منذ 4 سنوات MABROOK ALFU MABROOK ALLAH AKUZIDISHIE RIZKI YAKO BILA HISAB AMIN YARABIY 7
  • @
    @neemaberny3598منذ 4 سنوات Haya mwenye nyumba akijitokeza mtutangazie pia..celebrities wa bongo bana mnashindwa kuwa proud na kile cha kweli mlicho achieve ukweli mpka mdanganye!!! Si useme tu nime make nimehamia nyumba bora zaidi..kazi kwelikweli
  • @
    @arafajabir3194منذ 4 سنوات hongera yake Hamisa yaliyompata Zarina Hassan kwa nyumba na Hamisa yamempata Allah kareem Mungu ni mwema
  • @
    @ashulamusin9811منذ 4 سنوات Safi mama mkwe wako akajifiche chini ya jiwe nawale wote waliokua wanakuita maskini
  • @
    @zulfamohamed4549منذ 4 سنوات Vizr kama amejenga amemaliza nivizr maan kwenye habar yanyumba amemaliza bas atafanya mambo mengine t 3
  • @
    @mikarospius8084منذ 4 سنوات Yaani mnaonesha hotel za watu eti nyumba zenu 2
  • @
    @zakyahya4645منذ 4 سنوات Km kweli kama uongo kama kajenga kama kanunua iyo ni sehem y life yake binafsi ainishtui
  • @
    @mlasinyongolo3256منذ 4 سنوات Ajenge asijenge, anunue asinunu Misa Madame hero ktk maisha yake.
  • @
    @hassanmmacha7916منذ 4 سنوات Kwani kk zimeisha eti nyumba ya hamisa kwani nyinyi waandishi hamna habali za kuandika 1
  • @
    @katurukiladispensary5369منذ 4 سنوات Kweli maex wa diamond Kaz wanayo pia Wana jeur hawapend dharau kabisa wanaamua kujenga nyumba zao,tunamsubir tanasha nae,na alivo mlendamlenda 9
  • @
    @st.schogg6772منذ 4 سنوات Wao,, congregations.hope God will bless me to I complete mine.in Jesus name.. 1
  • @
    @passionlove1992منذ 4 سنوات anaejua huyu mdad anatumia jina gan insta, naomba aniambie
  • @
    @kessynurutajiri3075منذ 4 سنوات Jamani tumechoka kupigwa Changa la Macho, kwenye Pati yake ya kuzaliwa tulionyeshwa gari ya maonyesho. Ili tumwamini atuonyeshe Hati ya Nyumba, vinginevyo hatumwamini ng'ooo. 4
  • @
    @celinekanda1850منذ 4 سنوات Alihamia hapo December for your info mlimsema sana wee mnafki 1
  • @
    @halimabakari5078منذ 4 سنوات Kama na wewe unamsubiri Lokola aje kututhibitishia Hill, please gonga like yako hapa 1
  • @
    @fetychina3273منذ 4 سنوات Ww mtangazaji acha umbea ulitoa rist ukasema hamissa hajapata mafanikio katia mwaka ulio isha?na ukasema huwa ana piga dili za bule?haya sasa Leo kachukue wembe unyoe vu.zi 4
  • @
    @kessynurutajiri3075منذ 4 سنوات Sasa kuonyesha hako kamguu halafu unajificha ficha nini? Si umeamua kuonyesha utupu. 3
  • @
    @evancedaniel7322منذ 4 سنوات Mbona hata ww kama una kinyongo ss duh
  • @
    @dorislema1814منذ 4 سنوات uyo mtoto kafanana na lulu kama wake aise
  • @
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796منذ 4 سنوات MKIJI BLEACH JIPAKENI HATA MAGOTI MKOROGO 1
  • @
    @lanek816منذ 4 سنوات Cheap support ama child support‍♀️‍♀️‍♀️
  • @
    @RekhaRekha-es8brمنذ 4 سنوات Angaliya washamba haha muna nuka hebu toweni mecap manyani
  • @
    @shekhafilfil163منذ 4 سنوات Binadamu huwawezi anaesema hivo yeye anayo midomo tu 2
  • @
    @RekhaRekha-es8brمنذ 4 سنوات Washamba mara hijambu mara uleve washamba waemrevurevu shwa na wahindi
  • @
    @mariamukajiru1898منذ 4 سنوات HAWAAMNINIKI HAWA KWAKUONYESHA NYUMBA ZA WATU, WEMA ALISEMA AMEJENGA NYUMBA YAKE 400MIL MWISHO WA SIKU MWENYE NYUMBA KAJITOKEZA NA KUMTUPIA VITU NJE. 3
  • @
    @ntamugabobizi4580منذ 4 سنوات Siwezituma inia bwana waleo naye ajifuze hakiri aje ge ka kuwe ka dogo kake kesho asikose kondi tena wamucheke
  • @
    @sponsor7882منذ 4 سنوات ALAFU ANZE KUTUSUMBUA NA HELA KODI MWAKANI.
  • @
    @mwansaflorence6862منذ 4 سنوات Hicho ndo ninachokichukia kwako hamisa uongo, Mara umenunua Range kumbe kakodi.
  • @
    @erlinghaaland9412منذ 4 سنوات Baba ako mobeto kiboko kadanga mpka kajenga nyumba yake 3
  • @
    @nurumunguakutangurirabdull4472منذ 4 سنوات naikweli basi maana wamitaan bado hatujaongea kitu kama kweli tunashukulu 1
  • @
    @aminajuma2981منذ 4 سنوات Tutajua tu apo baadae atoe wapi nyumba yake 1
  • @
    @nuurinkluge7584منذ 4 سنوات Some of tansania Women they like only fake life