المدة الزمنية 21:36

MWIJAKU Afunguka - 'ALIKIBA Kumuacha MKEWE / DIAMOND Hawezi KUOA

بواسطة Global TV Online
229 952 مشاهدة
0
1.6 K
تم نشره في 2019/07/03

MWIJAKU Afunguka - 'ALIKIBA Kumuacha MKEWE / DIAMOND Hawezi KUOA" Muigizaji wa filamu Bongo, Mwijaku, ambaye kwa sasa anatamba na tamhiliya yake ya 'Mahaba', amepiga stori na Global TV na kuizungumza tamhiliya yake pamoja na soko zima la filamu... Mwijaku pia amezungumzia kuhusiana na ndoa ya mwanamuziki Alikiba inayodaiwa kuvunjika, akiwa kama mtu wa karibu na Kiba, amesema ndoa hiyo haijavunjika isipokuwa kuna migogoro ya hapa na pale inayosababishwa na mwanamke huyo kutokubaliana na ukweli kwamba mumewe ni supastaa wa dunia... #MWIJAKU #ALIKIBA /playlist?list ... /watch/f-X1N-1 ... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 736
  • @
    @rahmaismikhan2622منذ 5 سنوات Mwijaku you a the hammer that nails exactly where its supposed to be.we ni mwalimu,You inspires me brother. Lots of love from Kenya 8
  • @
    @ingabireflavia9329منذ 5 سنوات Mwijaku i love the way you reason your the only tanzanian sofar who talks his mind, like your realness,your boldness you dont sugar coat wrong doers big up bro. 4
  • @
    @ibrahimbashir4778منذ 5 سنوات Mwijaku King Kiba Original, Afu Hafichi Kabisa, That's What We Call Love 27
  • @
    @christophersoty101منذ 5 سنوات Jamaa änäongea ukweli ila Hakuna anayekubalika na woote
    binafsi nimemuelewa sana big up mwijaku
    34
  • @
    @vitalesgalus8004منذ 5 سنوات broo mwijaku kifupi unajua kuelimisha Jamii upo good big up sana ukwelri diamond shida anatamaha sana ukwelri hakuna binadamu mkamilifu kizazi sana dingi hooooooooyoooo 15
  • @
    @amidumahoro2783منذ 5 سنوات Huyu jamaa niwakueshim na anajieshim na anajielewa big up bro endelea kutuelimisha 23
  • @
    @ericklibaba1198منذ 5 سنوات Interview za Mwijaku ni hatari. Hasa akigusa mambo ya Mahusiano aaaah 3
  • @
    @nicksonmgale4699منذ 5 سنوات Aliyemuelewa kama Mwijaku ni team kiba gonga like 271
  • @
    @wemakalamu3538منذ 5 سنوات Mwijaku asante kwa maneno kuntu duu nimekuvulia kofia. 19
  • @
    @kwilabyalulyehohenry260منذ 5 سنوات Umegusa point bro mpaka iishe dunia hatatokea binadamu mkalifu hiyo pointing. 17
  • @
    @mdmubrak8152منذ 5 سنوات Kama unaangalia enter view ukuunasoma comment gongalike twende sawa 412
  • @
    @mussahamissimba6889منذ 5 سنوات Kuna filam Kali sana maneno ya kuambiwa ni Kali 4
  • @
    @lydiathadeous6644منذ 5 سنوات Nakukubaliiii sanaaa ila sio patient ni PASSION 2
  • @
    @cleosaferista4255منذ 5 سنوات Bro salut kweli, unachokiongea ni ukweli. Congratulations from BURUNDI !!! 3
  • @
    @worldstartzمنذ 5 سنوات Mwijaku yuko vizuri kwenye kazi, Sema anazingua 4
  • @
    @mhehearمنذ 5 سنوات Uko vizuri sana na nimeikubali maneno yako 80% safi sana 15
  • @
    @mussakizingiti3552منذ 5 سنوات kama kuna mtu anaijua tamthilia iitwayo MANENO YA KIAMBIWA gonga like mazeee twende sawa 90
  • @
    @mohammed.alghurabaa9266منذ 4 سنوات DUUU HAPO KWA HOFU YA ALLAH S.W..NIKWELI MWIJAKU.HOFU NI DINI SALUT MWIJAKU 1
  • @
    @Mzee_Kobe254منذ 5 سنوات 1st time kumwona Mwijaku.. that guy is real, but usiyataje majina ama ukazoea kuwaongelea hao wasanii wa kibongo, iyo tamthilia nitaanza kuiangalia hope id="hidden3" class="buttons"> iko YouTube, nice pushing African cinema na roho safi. following from Seattle, WA ....وسعت
  • @
    @kacheali4777منذ 5 سنوات Nakubali ulivyo ongea kuhusu mavaz ya waigizaj kuvaa vibaya ,tabia za Diamond Mungu wasaidie wawe n hofu ya Mungu 8
  • @
    @hamisiharuna3099منذ 5 سنوات Ukijisifu sana mwisho unajisifia ujinga, kwa bongo kwa sasa hakuna tamthiria kama maneno ya kuambiwa by kitale 7
  • @
    @onyinyeclara7410منذ 5 سنوات Mmh mzee baba unajua mambo ya watu weyee hataree
  • @
    @zizinezuzu8579منذ 5 سنوات tamthiliya ya MANENO YA KUAMBIWA ndo namba one in TZT hakuna kama KITALE 183
  • @
    @halimasssomar8793منذ 5 سنوات Mwijaka Una jisifia sana Bana.kuna maneno ya kuambiwa ina pedwa ajabu.sidhani kama umeifikia iyo thamthilia ya maneno..ebu tafuta mda uifatilie.mm naipenda Sana maneno
  • @
    @salomegeorge7027منذ 5 سنوات Wabongo kwa umbea ni namba moja..Mlibarikiwa kuchunguzana mpo 1
  • @
    @beatricejoseph3537منذ 5 سنوات Mwijaku Mimi nakupendaga tuu mambo yako 4
  • @
    @aminabukenya231منذ 5 سنوات Shikamoo mwijaku umeongea kweli domo yafaa abadilike bila hvyo hta maliza dada zetu 9
  • @
    @yusuphmussa6589منذ 5 سنوات Live kaka ndugu yangu wa kazulamimba
    Me wa nyamoli kigoma
    2
  • @
    @geeva99منذ 5 سنوات seriously huyu jamaa ni most entertaining guy in tz right now dah mecheka sana 1
  • @
    @andygal5605منذ 5 سنوات I'm floating,hii Kiswahili YA tz Ni tafash 1
  • @
    @salvatorysamson3341منذ 5 سنوات ujaona Maneno yakuambiwa ww kaa kimya iyo mahaba mavi tuu 14
  • @
    @jescajacob4445منذ 5 سنوات Mwijaku kaka angu mi nakupenda sana uigizaji wako sana napend sana kuna vitu unanifundisha ila mimi naweza kuigiza mahaba ya mke na mume sehemu nyingi sana naweza
  • @
    @eliasjames148منذ 5 سنوات Sizan kama kwa sas kuna kitu kama MANENO YA KUAMBIWA aseee 5
  • @
    @paulmafuru7283منذ 5 سنوات Hapo nimependa kauli yako ulosema no one is perfect so ngoja tu nimrudie Dem wangu alonisalit 19
  • @
    @uwingeneyeshadia7697منذ 5 سنوات Usijisifie uyo mtoto humjuwi uliza kwanza kwani aliye kudanganyana km tamthilia yako ninzuri kuliko zingine nani acha kuji proud bwana, km maneno ya kuambiwa id="hidden6" class="buttons"> ilisha tupagawisha sana big up my brother kitale nakupenda kufa ntakuja na mm niigize na ww ....وسعت 1
  • @
    @missmoona4497منذ 5 سنوات Nimefurah kusikia kiba bado yuko na Amina duuuh niliyo yasikia talaka 3 duuuh wa Tz shikamoni 93
  • @
    @habibasalim3092منذ 5 سنوات Vizuri kabisa brother that was my thoughts
  • @
    @songajr8962منذ 5 سنوات Mwijaku aisee una majivuno Sana shikamoo waha
  • @
    @gamechanger9646منذ 5 سنوات Tamthilia ya mahaba ni moto kwa kweli from 254
  • @
    @kytetmackam6669منذ 5 سنوات Kama nawe unamkubali mwinjaku gonga like hapaaaa 74
  • @
    @com_sci123منذ 5 سنوات I luv u mwijaku kweli ali kiba ni star duniani
  • @
    @faizadulla8663منذ 5 سنوات Mwikaju namjulia kofia ana sema ukweli mtupu na ni muelewa
  • @
    @ibrahimhery5613منذ 5 سنوات Nakukubali sannaaaa kaka mwijako. Ivi ulikuawapi mdawote
  • @
    @innallahmaaswabirin293منذ 5 سنوات Mwijaku, that girl ISIMBI she is very serious i m telling you. I support her from 29
  • @
    @ladymashaallahilikeuaadvis997منذ 5 سنوات Jamani mm kaka mwijaku huwa nakukubali sana,lkn naomba ujue kiba pia alizaa nnje na wanawake tofauti 30
  • @
    @aminamgaya7511منذ 5 سنوات Hivi mwijaku ushawahi kuangalia maneno ya kuambiwa ww au unaropoka tu 5
  • @
    @bakarimngazija6672منذ 5 سنوات Endeleeni kutusaidia katika maisha ya kila siku Na vijana wetu. 2
  • @
    @ilhammshana234منذ 5 سنوات Namkubali mwijaku lkn kitendo cha kusema tz hakuna tamthilia ispokua "mahaba" hiyo nasema hapana yan hata maneno ya kuambiwa bro??? 10
  • @
    @rosemakange8163منذ 5 سنوات Hofu ya mungu ni kweli wale watoto kuwanyima raha ya baba mungu anamuona!!! 2