Ushawahi Kuambiwa maji baridi yanagandisha mafuta mwilini? Ushawahi kuambiwa unatakiwa unywe maji lita nne na zaidi eti kwa sababu una uzito wa kilo zaidi ya 100? Je hili ni sahihi kwa wote? Tizama somo hili
@salomeconstantine4702منذ 4 سنواتDr, mi nasumbululiwa na presha ya kupanda miaka mitano sasa na ilitokana na uzazi na huwa inanisumbua sana japo natumia dawa, likaja kujitokeza tatizo id="hidden1" class="buttons"> lingine la kubeua, yaan nabeua sana nikapima vipimo kuangalia km nina vidonda vya tumbo lakini sina, nimetumia dawa za gesi mpaka nimeamua kuacha kuzinywa maana tatizo lipo palepale, niwe nimeshiba niwe na njaa, usiku au mchana napata shida na mpaka sasa nipo tu sina suluhisho lolote na ugonjwa huu. Nimekata tamaa tafadhali naomba unisaidie kama ukisoma message hii please. Sina raha na maisha kabisa ....وسعت3
@
@erastobefoodproductsمنذ 4 سنواتSafi Sana Dr nimejifunza ubarikiwe Sana. 2
@MaryNjoroge-bh7ccقبل 10 أشهرShukrani sana Daktari kwa ushauri wako 1
@
@asyaasya3766منذ 3 سنواتShukran doctor kwa kutuelimisha hatukua tunajua hilo 1
@
@fatmakombo7584منذ 4 سنواتShukran docktar elimu uliotupa ni nzur sana 1
@
@maureenjovial6083منذ 4 سنواتShukran sana daktari nimepata kuchua sasa
@
@franciscowilliam2575منذ 4 سنواتShukrani Sana nilikua nayahisi maji kua ni suspect muda mrefu Sana Ila nilikua Sijui kwasababu zipi. Umefafanua vizuri Sana imeeleweka. Mimi na familia yangu tutaanza kufuatilia rasmi mafunzo uliyotoa , Barikiwa sana 2
@
@noelmarapachi1808منذ 4 سنواتMungu Akubariki Dr. Mkumbo kwa kufungua channel hii 1
@
@fundieddy9164منذ 4 سنواتDuh! Tunywe maji kwa kufuata kiu na hali ya afya tuliyonayo, siyo kufuata 'fomula' za kwenye makopo ya maji ya wafanyabiashara. Ni id="hidden3" class="buttons"> mafundisho mazuri ya kitaalam, yaliyoelezwa kwa njia inayoeleweka mno. Asante sana Dr. Boaz. Mungu akubariki sana. ....وسعت8
@
@salmaamiry7674منذ 2 سنواتNakubali sanaa dokta mie nilifanya hilo jaribio na mda nijilazimisha kunywa maji ningali sina Kiu na Bado nanenepa ila baada yakufanya mwili unavyotaka basi napata matokeo mazuri tu
@
@ashashabani4402منذ 4 سنواتMara tunywe maji mengi!!mara ni hatar eeeh? Jamani 3
@
@mary.matullu8279منذ 4 سنواتNakubaliana na wewe. Big up. Kunywa maji ukiwa na kiu
@
@rosejohnsadock1559منذ 3 سنواتKazi nzuri dokta ila mom Nina tatizo LA chunusi mwilini nisaidia jinsi ya kuondoa au nitatizo gain hili
@
@kijajoseph8592منذ 4 سنواتYes , kunywa maji mengi ni madhara Tena daaa 1
@
@OmanOman-zc5dtمنذ 4 سنواتDoktar nipenambar yako ili nipate ushauli zaidi 3
@
@rehemashebanikasenge5138منذ 4 سنواتJee mm nakunwa maji yakiwa moto kiasi hivi nisawa coz mm ni mgonjwa wa thyroids nimeacha kula dawa za thyroids for 3mths now but nime kuwa na weight kubwa 80 nisaidie advise
@
@mamakonkimamakonki4901منذ 4 سنواتDocta mimi Nina presha ya kupanda naweza kunywa maji kiasi gani kwa siku, na nifanye nini ili nipunguke 2
@
@aishamawalla733منذ 4 سنواتDoctor jibu comment jamani site tupate faida 2
@
@hassankipalalah5422العام الماضيDr unanishauri nini kuhusu biashara ya juisi ya matunda na juisi ya miwa niifanyeje ili iwe bora?
@
@macscotty3409منذ 3 سنواتDoctor nashida na no.zako Asee unisaidie
@
@alidaniel4531منذ 4 سنواتDk mie figo yangu inavijiwe vidovido je nini chanzo na nini solushani yake? 1
@
@ashajuma6432منذ 4 سنواتDr B. Nina uzito wa 105 nifanyeje ili nipungue 2
@
@yengeselemanikiza1484منذ 4 سنواتNi kiasi gani cha maji ambacho ni kizuri kwa siku kwa mgonjwa wa type 2 ya kisukari 1
@
@westonmbuba6421منذ 4 سنواتMimi najua ukiona mkojo umekuwa wa njano sana ndo unywe maji 1
@
@omyhermit-ki1ioقبل 5 أشهرMnatuchanganya nynyi madaktar asa tumuamini nan
@
@tunsumemwajumba7149منذ 2 سنواتNikipata kiu ya maji usiku naweza kunywa? 1
@
@alicbenezeth194منذ 4 سنواتMm Niko na kg45 je nashauliwa nitumie maji kias gan
@
@richardjonasi6698العام الماضيMm namaliza siku 5 tu maana sierewi kabisa
@
@phebibedon7634منذ 4 سنواتJamaniii ma Dr. Kibaoo wanatushauri tunywe maji tena tusisubilii kiuu! Huyu piaaa anasema tusinywee mpaka kiuuu! Mhuu mnatuchanganyaa! Na vpi mikoa yenye id="hidden6" class="buttons"> baridi mtu huwa hasikiii kiuuu sasa si atakaaa mwez bilaa kunywa maji? Je itakuwa Sawa kweli kiafyaaa?? Daaaaaaa me Mnanichanganyaaa Tu hapaaaa ....وسعت2
@
@babyhamisi5331منذ 4 سنواتWengine wanasema tunywe maji bila kipimo maji hayana madhara, Wengine wasema maji kwa kiwango, mungu tusaidie 19
@
@user-jp5yy6kb9hقبل 10 أشهرMm nina kilo 95 nakunywa maji lita 4 je inafaa 1
@
@mariaemmanuel9494منذ 4 سنواتDr. Nifanyeje nipungue maana nina uzito mkubwa na tumbo kubwa 1
@
@EliechiKimario-bv1gzقبل 4 أشهرKi ufupi madaktri wa mtandaoni mnatuchanganya bhanaa we unasema hayafai wengine wanaelezea yanafaa tufwate lipi watu ni asantee docta tu wamechanfanyikiwa
@
@neemagoodluck6274منذ 4 سنواتdr nina hiyo shida ya kujaa miguu na kupumua kama nataka kufa ,nifanyeje 1
@
@rachealkitawa2153منذ 4 سنواتndio asante kwa mafunzo ila tusipo kula ivyo vyakula tule nini wakati vyakula ivyo ndivyo viko katika jamamii inayo tuzunguka
@
@lucydavid3582منذ 4 سنواتDr mim moyo unanishutuk xn na ninauzito wa 80 naomb ushauri wako maji ninjwe lita ngapi kwa siku naomb unisaidie plz 3
@
@kavishevicky1816منذ 4 سنواتMungu tu atusaidie kila MTU anasema lakwake . 5
@
@hadija846منذ 2 سنواتAsante sana dokta mimi ninaupungufu wa homon kwa sasa nakunywa dawa ya homon na nilikuwa nakunywa maji mengi miguu imevimba tumbo ni kubwa na unene sipunguwi id="hidden8" class="buttons"> kwa sasa nitajitaidi kuto kunywa maji mengi shukran Mumngu hakubariki ....وسعت
@
@faridhassan2308منذ 4 سنواتSasa nimekuelewa dokta Nina uzito wa 120kg na kila nikijitahidi kupungua sipungui hata nifanye nini,ila leo nimejuwa kuwa sababu ni unywaji maji kwa kufuata id="hidden9" class="buttons"> fomula,nakunywa maji mpaka lita sita kwa siku,sipungui hata nikifanya nini,nikaanza kuhisi kuwayawezekana maji yananinenepesha pia,nakontroo chakula ,mafuta na sukari pamoja na mazoezi,lakini sipungui. Asante naanza leo kufanyia kazi hiyo hali. ....وسعت1
@
@bernadethaprosperمنذ 4 سنواتNahitaji kuongea na ww hata kwa simu kuhusu topic ya maji
@
@saumuseif9189منذ 4 سنواتShukran ila wengine wanasema tunywe majimengi 2
@
@annamlaponi9454منذ 4 سنواتHongera kwa kazi njema Dr.ila swali langu MTU mwenye shida ya mawe kwenye figo au shida ya figo,na INI kuzungukwa na mafuta,je anaruhusiwa kula hizo nyama ambazo ndo unatusisitiza tule? 2
@
@annajustine5104منذ 4 سنواتAhsante sana doctor, je na mtu anayesumbuliwa na presha anatakiwa anywe maji kiasi gani kwa siku?
@
@zainabmmapala8073منذ 4 سنواتMm ni mwembamba na hata sifiki uzito wa kilo 50 na tatzo la ganzi ndy langu. Kla sehem ya mwili an ,,, na hua linatokae Mara kwa Mara,, nisaidie ufumbuz hapo 1
@
@officialtunumziwanda3281منذ 2 سنواتAkili zakuambiwa ongeza na zako usinywe maji mengi utakapo tundukiwa drp la maji hospital utajua hujui mbuzi nyie
@
@henriettenkuba7078منذ 4 سنواتNtakufwata Sana lakini point sipate.yani sipate jibu sahihi la swali
@
@khneesajumaa2052منذ 4 سنواتTwambie ni vyakula gani vya kuepuka kula mala kwa mala 3
@
@janetisamson3735منذ 4 سنواتNa kama unatatizo la kisuka unatakiwa kunywa maji kiss gan
@
@bensonlucas7607منذ 4 سنواتsomo zuri sana ila punguza kiswa_english kingi.
@
@ms.independent8934منذ 4 سنواتkwaiyo tunywe maji kidogo? maana mtu akienda hospital tuna ambiwa tunywe maji mengi na ww unasema tusinywe maji mengi. sasa hatu waelewi 1
@
@ms.independent8934منذ 4 سنواتDr. unapatikana wapi kio offc? maana mm nina matatizo ya haja kubwa mm sio mnene ila nina presha pia na nimeambiea nile mboga za majani na matunda na maji mengi ila ningependa nijuie zaidi kitaalam kuhusu maradhi yangu hao 1
@
@neemamwaijegha2109منذ 3 سنواتMimi kuna nes aliniambia ninywe maji lita tano kwa siku nilikua mja mzito kwahiyo uzito uliongezeka sana. Nilimwambia nakunywa lita mbili na nusu alinigombeza id="hidden13" class="buttons"> sana. Nikaanza kunywa kwa kujilazimisha mpaka nimalize lita tano. Nilipo jifungua nikaanza kupumua kwa shida sana. Nimeenda hospital nikaambiwa moyo umetanuka. Nimeumia sana. Hata sijui kama nitamona ....وسعت1
Mungu akubariki saaana
Nimekufahamu vizuri 1
Tunywe maji kwa kufuata kiu na hali ya afya tuliyonayo, siyo kufuata 'fomula' za kwenye makopo ya maji ya wafanyabiashara.
Ni id="hidden3" class="buttons"> mafundisho mazuri ya kitaalam, yaliyoelezwa kwa njia inayoeleweka mno.
Asante sana Dr. Boaz.
Mungu akubariki sana. ....وسعت 8
Big up. Kunywa maji ukiwa na kiu
Asante naanza leo kufanyia kazi hiyo hali. ....وسعت 1
Nikaanza kunywa kwa kujilazimisha mpaka nimalize lita tano. Nilipo jifungua nikaanza kupumua kwa shida sana. Nimeenda hospital nikaambiwa moyo umetanuka. Nimeumia sana. Hata sijui kama nitamona ....وسعت 1