Video hii inaeleza mambo 12 ambayo ni ya muhimu kwa #mjasiriamali anayetaka kuanzisha biashara (#business) ya unga wa sembe. Mambo kama upatikanaji wa mahindi, #bei za mahindi, aina bora za mahindi, upatikanaji wa mashine za kukoboa mahindi na kusaga unga, #mtaji wa kuanzisha biashara, #soko la biashara ya unga na kadhalika yafaa yapatiwe ufumbuzi kabla ya kuanza biashara.
Sasa unaweza kununua vitabu vyetu vya ujasiriamali na bidhaa nyingine kupitia duka letu la online
https://tanbusiness.myshopify.com