المدة الزمنية 13:54

Samatta aeleza kwanini ni Alikiba/ kikosi /tuhuma za kuiba mchezaji

بواسطة Bongo5
120 120 مشاهدة
0
656
تم نشره في 2018/06/08

Mshambuliaji wa timu ya Taifa na klabu ya Genk ya nchini Ubelgiji, Mbwana Samatta amefunguka kuzungumzia mambo mbalimbali kuhusu mtanange wake wa hisani dhidi ya muimbaji Alikiba ambayo utachezeka hapo kesho katika Uwanja wa Taifa jiijini Dar es salaam.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 84