المدة الزمنية 12:50

MTOTO AFANYIWA UKATILI NA MAMA WA KAMBO/AGEUZWA MSICHANA WA KAZI WABABA MTAANI WASHINDWA KUVUMILIA

بواسطة Geah Habibu
56 186 مشاهدة
0
580
تم نشره في 2020/04/27

Ukatili dhidi ya watoto bado unaendelea.Mtoto huyu afanyiwa ukatili na mama yake wa kambo,Ni binti wa miaka 11 ageuzwa msichana wa kazi na kupigwa sana hadi kuvimba.Wababa wa mtaani washindwa kuvumilia..Fwatilia kisa hiki cha kusikitisha kisha utoe maoni yako. #geahhabibu #GeahTv #MatukioYaGeah

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 492