#millardayoUPDATES
Baada ya kusambaa kwa taarifa mitandao iliyoibua taharuki kwamba kuna watu wamepoteza maisha, kuibiwa mali zao na kuzimia katika eneo maarufu jijini Dar es Salaam Kidimbwi Beach, Ayo Tv na Millardayo.com imezungumza na Uongozi wa eneo hilo.