Mchekeshaji Maarufu, Masele Chapombe atakuwa akipiga stori mbalimbali na wakazi wa Tandale jijini Dar es Salaam wakielezea maisha halisi ya mtaani kwao na namna wanavyoishi, kero zao na changamoto za kila siku wanazozipata majumbani na kwenye mihangaiko yao ya kila siku.