المدة الزمنية 15:26

Ebitoke, Bwana Mjeshi kama Diamond, kuzindua filamu yao Kenya

بواسطة Bongo5
38 058 مشاهدة
0
302
تم نشره في 2018/03/21

Kundi la Timamu ambalo lina wakali kibao kwa upande wa uchekeshaji kama Ebitoke na Bwana Mjeshi wanatarajia kuachia filamu yao mpya inayokwenda kwa jina la Sema nchini Kenya. Uzinduzi huo utafanyika mwanzoni mwa June mwaka huu. Wasikilize hapa.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 69