Mke wa Roma, Nancy amefungua Saloon ambapo alipata fursa ya kuzungumza mambo mengi pamoja na tuhuma za kutembea na mchezaji wa Yanga wakati mume wake yupo nchini Marekani.
Nancy amekanusha uvumi huo na kudai Stamina ana wivu anatakamini ndoa yao ivunjike kama ilivyovunjika ndoa yao.