المدة الزمنية 5:41

YESU ndiye jiwe kuu la pembeni / Yeye hunyoosha njia za watu wake ili wafanane na MUNGU wa Mbinguni

بواسطة GILAD TV Online
217 مشاهدة
0
2
تم نشره في 2021/07/09

Ibada kutoka Kanisa la CLC - Sinai Mlima wa Washindi lililopo katika Kata ya Kiranyi, Sakina Mkoani Arusha. Mahubiri kutoka kwa Mpakwa Mafuta wa Bwana, Askofu wa Makanisa ya Christian Life Church - Tanzania na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la CLC - SINAI MLIMA WA WASHINDI ; Askofu Joseph Laizer. Mawasiliano: +255 753 254 189 +255 768 934 047

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0