@dennischeyo13024 years agoWanangu wa uyole hawa nishawaona sana nikiwa green City Mbeya home sweet home 1
@
@restkalemile52743 years agoupewe vifaa na nani kaka..... hapo ulipofika nan alikup vifaa..... pambana kwa juhud binafs, nyKat hiz hakun mtu anaweza toa kitu chake bure watu ubinafs umetawala sana....... 2
@
@khamisoothman52946 years agomzee umetengeza gari zuri sana lenye umbo la kuvutia 2
@
@fredialfredi2022 years agoNimependa apo kwenye mafuta kako poa mbaya
@
@faustinemwamlima23345 years agoMimi naomba niuzie hiyo gari nimeielewa 2
@
@nyamtigaibrahim5304 years agoAhahahahahahahahahahahahahahahah ila mtangazaji wakati anaenda kumhoji muhusika nahisi alikunywa au alivuta maana Mambo mengine hata cjui maswali yake cyaerewi 1
@
@thomasgeorg41137 years agomungu yu mwema hongera sana ila ukiamua kufanya kitu fanya tu kwakuwa mbunifu hana mipaka duniani kote 1
@
@rutashubanyuma45466 years agoSafi Umewazidi wasomi wakubwa ambao elimu zao ni vitabuni tu hawawez kuunda ht pikipiki 4
@
@joellumala32064 years agoTunaulizia kama jamaa ashaenda kumuona Rais au vepee??? 1
@
@daviddouglas89432 years agoIfikie wakati sasa Serikali iwakusanye pamoja hawa watu wenye uwezo wa aina hii, maana inaonekana wapo wengi sana Tz sasa hivi...Wawaombee hata msaada nje wawasaidie watafika mbali sana
@
@amanijampion30455 years agoTunaomba mawasiliano yake. Tufanye biashara pia
@
@dicksonsenyagwa95424 years agoTatizo letu waafrika unajitahidi kuunda vitu mara unaambiwa utafungwa ni ajabu
@
@abdulrisassy24885 years agoUkitengeneza ndege unafungwa jamanii...eti usichezee anga😂😂😂
@
@rashidabdallah70356 years agonaomba namba yako bwana buga ili nikutafute 1
@
@saidzww7 years agousije hapo anakuona atakusapoti sana hongela mungu atakupa ujuzi mwingine
@
@donaldnelson92266 years agoHiyo Gari inacadi na TRA wanaijua?,mbona haina namba?.
@
@abduljuma49446 years agoMimi nimetengeneza pikipiki yang mwenyewe model ya ducat njoo nitembelee niko singida 0753942301
@
@saidasimba99796 years agoanatengeneza Gari au anaunda bod.? labda Gari ni ipi jaman 2
@
@dennischeyo13024 years agoWanangu wa uyole hawa nishawaona sana nikiwa green City Mbeya home sweet home 1
@
@restkalemile52743 years agoupewe vifaa na nani kaka..... hapo ulipofika nan alikup vifaa..... pambana kwa juhud binafs, nyKat hiz hakun mtu anaweza toa kitu chake bure watu ubinafs umetawala sana....... 2
@
@khamisoothman52946 years agomzee umetengeza gari zuri sana lenye umbo la kuvutia 2
@
@fredialfredi2022 years agoNimependa apo kwenye mafuta kako poa mbaya
@
@faustinemwamlima23345 years agoMimi naomba niuzie hiyo gari nimeielewa 2
@
@nyamtigaibrahim5304 years agoAhahahahahahahahahahahahahahahah ila mtangazaji wakati anaenda kumhoji muhusika nahisi alikunywa au alivuta maana Mambo mengine hata cjui maswali yake cyaerewi 1
@
@thomasgeorg41137 years agomungu yu mwema hongera sana ila ukiamua kufanya kitu fanya tu kwakuwa mbunifu hana mipaka duniani kote 1
@
@rutashubanyuma45466 years agoSafi Umewazidi wasomi wakubwa ambao elimu zao ni vitabuni tu hawawez kuunda ht pikipiki 4
@
@joellumala32064 years agoTunaulizia kama jamaa ashaenda kumuona Rais au vepee??? 1
@
@daviddouglas89432 years agoIfikie wakati sasa Serikali iwakusanye pamoja hawa watu wenye uwezo wa aina hii, maana inaonekana wapo wengi sana Tz sasa hivi...Wawaombee hata msaada nje wawasaidie watafika mbali sana
@
@amanijampion30455 years agoTunaomba mawasiliano yake. Tufanye biashara pia
@
@dicksonsenyagwa95424 years agoTatizo letu waafrika unajitahidi kuunda vitu mara unaambiwa utafungwa ni ajabu
@
@abdulrisassy24885 years agoUkitengeneza ndege unafungwa jamanii...eti usichezee anga😂😂😂
@
@rashidabdallah70356 years agonaomba namba yako bwana buga ili nikutafute 1
@
@saidzww7 years agousije hapo anakuona atakusapoti sana hongela mungu atakupa ujuzi mwingine
@
@donaldnelson92266 years agoHiyo Gari inacadi na TRA wanaijua?,mbona haina namba?.
@
@abduljuma49446 years agoMimi nimetengeneza pikipiki yang mwenyewe model ya ducat njoo nitembelee niko singida 0753942301
@
@saidasimba99796 years agoanatengeneza Gari au anaunda bod.? labda Gari ni ipi jaman 2
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MDAU AUNDA GARI LAKE JIJINI MBEYA..:
Umewazidi wasomi wakubwa ambao elimu zao ni vitabuni tu hawawez kuunda ht pikipiki 4
Umewazidi wasomi wakubwa ambao elimu zao ni vitabuni tu hawawez kuunda ht pikipiki 4