المدة الزمنية 21:50

LIVE​: GLOBAL HABARI MEI 03 - RAIS SAMIA ATUMBUA VIONGOZI WATATU

بواسطة Global TV Online
1 319 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2021/05/03

🔴#LIVE​: GLOBAL HABARI MEI 03 - RAIS SAMIA ATUMBUA VIONGOZI WATATU... Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi watatu pamoja na wajumbe sita wa bodi ya TASAC. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Mei 3, 2021 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hussein Athman Kattanga imeeleza kuwa uteuzi wa viongozi hao umetengelia kuanzia April 30. Rais Samia ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) Prof. Tadeo Satta. Pia Rais Samia ametengua uteuzi wa Posta Masta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Hassan Mwang’ombe pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Posta Tanzania Dkt. Harun Kondo. Sambamba na hatua hiyo Rais Samia amevunja Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Posta Tanzania na uteuzi wa viongozi watakaoshika nyadhifa hizo utafanywa baadae. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0