@justinakaronge52704 years agoDada mpendwa tunakupenda Sana,lkn huwezi amini umetutoa imani huo ndoukweli 18
@
@revocatusedward57394 years agoWAAAAAAAAH, YAANI SASA HIVI KUNA CHADEMA YA MBOWE NA CHADEMA YA WANAWAKE WANAOJITAMBUA 11
@
@thabitmohamed87444 years agoRudini kwenye uongozi mkae pamoja mulimalize hili muendeleze chama chenu hizo social media hazitakusaidieni kitu 24
@
@jumakapilima56744 years agoHongera Kiria, kwa hoja yenye mashiko!!!! 2
@
@elizabethebambo94754 years agoNani kasikia Jocye Kiriya hajui kuuliza swali like 3
@
@malatashiyotv18414 years agoJibu zuri sana halima, sababu za jinsia sasa nazani wale waki za wanawake mtafunga mdomo 11
@
@mdungially23424 years agoKama kuna aliemuona budgad kule nyuma akipiga makofi na yy hem anipe like yke, mm cjawah ona bodgad akashangiria 29
@
@tsaonethapelo63734 years agoChadema haiwezi kuwafukuza hawa wanawake na kuna kiongizi ndani ya chamema aliyefanya mchakato wa hawa wabunge kuapa kitakachofanyika ni masharti magumu kuhusu ruzuku zao labda wakatae kuhusu ruzuku ndiyo watafukuzwa mtaniambia siku watanzania wenzangu ...5
@
@godloveadamu43794 years agoNinaamini kiundani sana kitokacho kinywani mwako kiko sahihi kabisa,hongera sana. 3
@
@mako3314 years agoI love your confidence Halima, nitafutieni mwanamke wa kipare sasa 3
@
@deisdediterkomba63694 years agoNakukubali sana mshikaji wangu mh Halima Mdee
@
@thejordanband15164 years agoMuheshimiwa Gwajima ameleta tetemeko la Chadema Wanawake wote kabisaaaaa sauti ziko juu wameongeza volume.. 3
@
@mutrahjr28594 years agosio mshabiki wa siasa .. ila kama kweli waliona uchaguzi haukua wa haki na ulikua feki .. na walilalamika wameibiwa kura .. leo hii inakuaje wanakubali kujiunga na hio serikali wanayosema imewaibia kura 8
@
@mekajamtv96034 years agoLeo mtapuuzwa ila kuna siku mtapongezwa,kilichokuwepo ndan ya chama mnakifahamu ndiyo maana maamuzi yenu yanaeshimika kwa wanaopenda maendeleo ya nchi yetu❤❤❤ 10
@
@kapasimoses984 years agoHalima mdee na wezako na wapa Hongera sana kumbe wanawake mnaweza kazana wala musiogope hata kidogo 14
@
@mnegaamina60854 years agoMtoto wakike nakuamini kichwa chwako ni nyundo au msumeno uko vizuri najua wanashindwa kupumua huko walipo
@
@helencyprian60444 years agoOmbeni radhi tu ni jambo la hekima sana na maisha yaendelee 5
@
@majiniuhaimnu91504 years agoKama hujib maswal ya mcng Kama ninan aliwatuma kwenda bungen sawasawa na kwamba hunania ya kujib maswal yetu unatuchanganya tu 11
@
@fatumaali71934 years agoUsijisikie sana mdee CCM haina haja na wewe. Usichukulie utetezi ni kukutaka! 16
@
@ziadasadiki81964 years agoHalima Mdee uko vyema, Wanawake hakuna Chama Pamoja Bungeni Hakuna kususa Nendeni Bungeni Kwa ajili ya Taifa . Hivi mkikaa pembeni mnamsusia nani Kikwete alitutetea tuwe Viongozi, MBOWE mfumo DUME. Mdee na wenzako Pamoja sana MUNGU WABARIKI WANAWAKE 👏❤ ...
@
@matlesimon13574 years agoMdee hujambo,ulikuwa unatukana sana CCM je leo CHADEMA wakikutukana unajisikiaje ipi chama bora 4
@
@khamisjuma50464 years agoJenelal.mbowe tuwa.samehe dada zetu.wa Tanzania happened the world 1
@
@salmaathuman91564 years agoCcm oyeeee daima mbele kwa mbele tunahitaji kiongozi ajae 2025,awe zaidi ya magufuli😁💪 15
@
@kingdavid19244 years agoPigeni kazi wanawake! wanalalama kwa sababu hawajapata hizo chance. 24
@
@elisanteabraham32494 years agoHalima uko vizuri Una uwezo wa kuwakilisha wanawake wenzio. Njoo CCM wasikunyanyase hao
@
@ayubumollel67224 years agoAcha kujibu maswal kihuni ww, una jipya ww tena uxhapoteza imani kwa watanzania, wenye kuitaji mabadiliko 11
@
@anthonymsofemsofe96464 years agoHalima unajua Sanaa kunena kwa hatua nimekupenda bureeed dada kamanda wangu people's
@
@deusnzelan84134 years agoHawa lazima watarudi Chadema sababu kati yao wapo watumishi wa Mungu nawajua na wanajua kabisa kile yuda alikifanya kwa BWANA YESU na matokeo yaliyompata yuda nawajua Sana rudini kundini watumishi wa Mungu
@
@dausonmlay18304 years agoMnaangalia tu masilahi yenu, ndo msha fukuzwa uwanachama wanafi kweli, mnakera sana 10
@
@gracechriss39284 years agopeleka bangi huko juzi ulikuwa unalia umeibiwa kura leo umekuwa mbunge ,,, hahahahaha siamini kama ww umekuwa msaliti mkbwa jamni 9
@
@nassoralinassor16984 years agoHatususii nchi tutaitetea vipi mkifunga mdomo nakupa salut halima kaza buti 20
@
@samsonzacharia23294 years agoMm nahc huruma kwa vyama vya upinzani. Huy mama cjui ni mschana Halima Mdee, ana wakati mgumu. Kwa ajl ya mfumo wa vyama hcka. Na wanatamani ulaj 1
@
@restutarweyemamu23444 years agoKama umemuelewa Halima kuna kitu atakisema baada ya kukata rufaa hawezi kukisema muda huu kisheria gonga like. 8
@
@nyagawanyagawa28294 years agoDada zangu wapimnayumba lakini! Kotemlikotoka Leo mfanyemliyofanya hayo? 6
@
@neemachriss26054 years agoMimi ni ccm damu lkn kwa jibu hili la mdee ya kuwa 2010 hawakukubali na vit maalum walienda'2015 hivyohivyo hii ni kweli kwamba kwakuwa hawa wanaume hawajaingia bungeni ndio wanataka kuwakandamiza wanawake endeleeni kupambana naamini ukweli utajulikana na mtakuwa ok kwa uwezo wa Allah'Nimewapenda ...
@
@alexkalonga36324 years agoIli picha la ukweli Sana Ni bonge la Muvi linaitwa Expendables" 35
@
@mwitasamwel4094 years agoNimekuelewa sanaaaa Halima mjengoni ni lazma na ndo mafanikio
@
@walidiibrahim55464 years agoMimi kwa maelezo ya halima na jinsi walivovaa kombati za chama naomba wasamehewe Hadi nimewaonea huruma 3
@
@samweltangasi47494 years agoKuweni na msimamo chama kitawasikiliza tu tunawaomba msituangushe ccm watatuzomea sana tunashidakubwa cc wafuasi wenu 3
@
@mdungially23424 years agoSasa inakuaje usjibu ayo maswali na watu wanataka kuyatambua au unasubir mpk muhakikishe kua hamtakiwi kihakililah ndio uje utoe ya moyon maana nna uhakika unayo madudu mengi yanayofanyika ndan ya chama kwa sababu tushaanza kuyaskia kutolewa nje ...2
@
@michaeljbkubugu73314 years agoHalima mlikosea sana kujiamlia omben msamaha
@
@sarahwalles26074 years agoYaan umejialibia hata chaguzi zijazo jimbo la kawe hata akisimamishwa mgombea wa chama cha chauma anabeba bila kuiba kura maana umeshapoteza sifa zako kbs 10
@
@umulithokyarema64914 years agoKusema kweli Halima Mdee ni jembe ila ukirekebisha tofauti chache za kuchanganya sheria na maadili mambo mwakeee
@
@justinakaronge52704 years agoMungu anakuona Halima,uhodari na umahiri wako ulituamisha Sana kwenye Demokrasia
@
@kevinludovick85064 years agoJoyce kiria hakutegemea hilo jibu alitaka kuwa kama yuke mwanaharakati mropokagi, “Tumekuwa wanawake wa shoka na huu ukamanda wetu ni kwaajili ya chadema”...... mwisho wa kunukuu 1
@
@reubenismail36724 years agoMmetukwaza Sana!Bora niludi tu nyumbani kumenoga kumbe ndivyo mlivyo jamani! 2
@
@elizabethebambo94754 years agoMuwe wakimbizi wa chama mwende ubalozi wa act wazalendo uwasindikize kwa cc🏃🏃🏃🏃 3
@
@pascalhoza62974 years agoHalina upo vizuri Sana wapashe nao wababaishaji shida yao kubwa wamekosa ubunge .
@
@jemamahenge72054 years agoUmetusaliti mdee hatna imani na ww tena tuluku
@
@sankofaman41124 years agoDuh! Chama cha kambare. Mke ndevu, mume ndevu. 11
@
@poizonboy1794 years agoHalima nilikuelewa Sana ila Daaaa kaombe Radhi basi dadaangu Tunakupenda Sana na wenzako 6
@
@adballahaji84314 years agoDa Dada halima nakukubali ukiwa chadema achana na MA ccm wachawi
@
@johnsahaguni25834 years agoHongereni kwa uamuzi mzuri wa kukata rufaa. Rudini chamani
@
@joehjulius45774 years agoHalima tumeandaa mpango wa kukupoteza kwenye siasa ndio tunajuwa wew n njaa na ccm tunatumia mwanya huo kazi nzur kesho ile pesa tunakupa umalizie kuuwa chama hiko🙏
@
@evanceraurian58424 years agoDada chapa kazi hapa tz ni HAPA KAZI TU 2
@
@ambrosefelixshayo65684 years agoMimi ni mwana CCM maoni yangu Halima na Bulaya na Matiko ni wachangiaji wazuri kwa hoja ningeomba Chadema wasiwapoteze watu hao japo walikua wanajiingiza kwenye vurugu sikua naridhika na hill naomba Chadema wajitafakari sana ...
@
@radhiambwana87874 years agoHalima Kama halima unamuachaje asiende bungeni ukimchelewesha utamkuta kashaapa. 8
@
@geitaamb41524 years agoHalima tatizo si kwenda bungeni dadaang tatizo hamjafata taratibu za chama jaribu kujishisha ombeni radhi tu. 7
@
@blandinamwarabu50254 years agoWakati mnakata rufaa posho mnavuta. Ila Mdee na Mbowe Mungu anawaona.
@
@salomemahenge67584 years agoUmeutesa sana mioyo ya wanachadema sijui utatuambia nini iri turudi kukuamini
@
@cmcnews33754 years agoUnajibu kihuni sana dada, jibu kisheria kulingana na katiba sio kihuni namnahiyo pasipo hata vifungu vya katiba.
@
@kennethngoleka5174 years agoChapeni kazi Dada zangu mimi najuwa wao wamejichanganya AKINA Mama nyie mpo vizuri 10
@
@lawrencemartin71164 years agoTulikupenda sana na tukakuamini sana ila kwa sasa umetutoka yaan umeharibu kila kitu tunajua njia mliyoambiwa ni kukimbilia mahakamani kwa sababu uko ndiko walipo waliowatuma lkn tambua chadema kitabaki kuwa chama imara 1
@
@fabiolapanga86804 years agoWe halima unatutania kwa namna ambayo hatujawahi kufikiria! 8
@
@amanimwenda14604 years agoMh Mdee kwahiyo CHADEMA kwako sasa hivi ni Mtoto? 10
@
@dennischeyo13024 years agoMbowe ni beberu aliekubuu maana hataki kuachia madaraka ya uwenyekiti Nyie pigeni kazi wanangu 5
@
@mwalimujames23454 years agoHalima Mdee na wenzake ni mfano bora wa wanasiasa wanaorudisha nyuma siasa za vyama vingi hapa nchini. Alipokuwa bungeni alikuwa anatukana, anashiriki migomo anabariki fujo. Yaani siasa za vyama vingi zimekuwa kichekesho na kitu cha ovyo kwa ajili yao. Lakini siasa za vyama vingi wala hazipo hivyo wala hazipaswi kuwa hivyo ...1
@
@sarahwalles26074 years agoCheck nyuso zao kwanza zimejaa usaliti mtupu tu 3
@
@jacobletema36814 years agoJamani niliwaamini sana Halima Mdee na Ester Matiko!!!
@
@omaryrashid78034 years agoNjooni ccm huku kuna haki, njooni ccm plz 1
@
@binrashid16384 years agoKama umegunduwa kuwa media ni nyingi kuliko wanahojio nipe ishara ya vidole 2 ju. 2
@
@claudinemaxime9364 years agoMbowe amejifanya Mungu mtu. Avuliwe uenyekiti. Amechoka:-) Hongera Halima! 3
@
@tsaonethapelo63734 years agoHawa jamaa wasanii sana uhuni mwingi chadema saccos kwa wingi 2
@
@yusuphyunusi68654 years agoHawa wamama wanavaaje nguo za chama cdm badala ya kuvaa mavazi ya ccm? Wavae tu maana akina silinde walianza hivyohivyo 1
@
@cosmaskulaya52974 years agoKabaki Mwamba mmoja tuu na masimba kadhaa. Honest to his death na History will be up on him.
@
@gracejaphet1704 years agoKwani hii ni muvi au? Mbona sijaelewa kuna nini?
@
@mwenyemvuamsafiri81504 years agoKwa sasa wewe, umepoteza dira na hata muelekeo huna. Kilichopo kwenye nafsi yoko ni usaliti na upumbavu ulio kuingia kwa tamaa ya njaa zako tu. 8
@
@salamuseif86914 years agoDada Halima mbona mbinu zako ni kama za cuf unataka kupasua chadema 1
@
@bensonashery23604 years agoNenda bungeni mama ukaendelee kuunguluma
@
@seifmmaka59614 years agoNi sawa ila ucje tna kwenye jimbo Letu na ujinga wenu
@
@al-aminlwano68884 years agoMm ni shabiki mkubwa wa ccm nilikua siwapendi lakini kuanzia Leo nawapenda sana NAZINGATIA DHAMIRA YENU YA DHATI HONGERENI SANA BIGUP 2
مقاطع الفيديو ذات الصلة على LIVE: MAJIBU ya HALIMA MDEE Kuhusu HATMA YAO CHADEMA:
Huy mama cjui ni mschana Halima Mdee, ana wakati mgumu. Kwa ajl ya mfumo wa vyama hcka. Na wanatamani ulaj 1
hii ni kweli kwamba kwakuwa hawa wanaume hawajaingia bungeni ndio wanataka kuwakandamiza wanawake
endeleeni kupambana naamini ukweli utajulikana na mtakuwa ok kwa uwezo wa Allah'Nimewapenda ...
Nyie pigeni kazi wanangu 5