المدة الزمنية 32:9

LIPULI FC 2-0 YANGA SC; FULL HIGHLIGHTS (NUSU FAINALI ASFC - )

بواسطة Azam TV
152 271 مشاهدة
0
381
تم نشره في 2019/05/06

Mabingwa wa zamani wa michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) Yanga SC wametupwa nje ya michuano hiyo msimu huu baada ya kupokea kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Lipuli. Yanga imeyaaga mashindano hayo katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Samora mjini Iringa, mabao ya Lipuli yakifungwa na Paul Nonga dakika ya 27 na Jimmy Shoji dakika ya 39. Ushindi huo unaipeleka Lipuli fainali ambako itakutana na Azam FC kwenye Uwanja wa Ilulu mjini Lindi.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 142