@festonkandonga85منذ 5 سنواتNayapenda sana madini haya hakika yanatoa hatua moja kwenda nyingine 4
@
@estaraberd1245منذ 2 سنواتAmeen mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana
@
@nyotasandra1176منذ 4 سنواتIyo kweli mtumishi wa Mungu,muda mwengine hatuelewi maono tunayopewa!ubarikiw sana
@
@Neemakilimbaمنذ 2 سنواتEee Mungu nisaidie kumwezesha Mtu wa ndani Nope nguvu ya Roho Mtakatifu
@
@davidtry4neمنذ 3 سنواتAsante sana mtumishi wa Mungu. Nna swali kidogo na linanitayiza sana.mtu anaweza kujazwa na Roho Mtakatifu bila kusema Kwa ligha mpya!!?
@
@salomejacob1242منذ 2 سنواتWewe umenielewesha sana Hawa feke ndo wanaotuchanganya
@
@Word_DJ.منذ 3 سنواتKuna utofauti gani na kipaumbele kiasi gani Kwa Mungu kati ya anayeomba kwa lugha na anayeomba kwa lugha ya kawaida wote katika kumaanisha.
@
@dawhiteschola8847منذ 2 سنواتMchungaji umenena vyema ila na swali hapo kwenye unenaji WA lugha neno lina sema tutapewa lugha mpya je mbona lugha hiii roboshalala bakurya imekuwa. Kama fashion lugha ni ilele watu wote wananena moja
@
@nyotasandra1176منذ 4 سنواتTunapo ulizia,ata wa chungaji wetu,hawatuambii chochote,ao wanakwambia eti si vya kwako
@
@mwl.deogratiaschristopher1126منذ 5 سنواتGood.! Sasa mbona somo hata halijaanza alafu ndio imeisha..? 1
@
@lauraingosi1428منذ 4 سنواتnimekubaliana na wewe kabisa kwenye ile sehemu ya kunena kwa roho ulipokua ukielezea kuhusu tukio la mwili kutetemeka, kuna kunena kwa lugha ya kiroho, lugha ya roho mtakatifu (lugha mpya) 2
مقاطع الفيديو ذات الصلة على NAMNA YA KUONA VITU KATIKA ULIMWENGU WA ROHO:
Sasa mbona somo hata halijaanza alafu ndio imeisha..? 1