MAHITAJI
1. Unga wa ngano vikombe viwili
2.Maziwa ya unga vijiko vitatu vya chakula, jaza
3. Mafuta ya samli (Ghee) vijiko vitatu vya chakula
4. Sukari kijiko kimoja cha chakula
5. Chumvi kijiko kidogo cha chai
6. Maziwa fresh vikombe viwili vya chai, (low fat)
*Changanya vyote na anza kukanda unga wako ukishapata donge malizia kwa kumwagia Butter vijiko viwili vya chakula uliyoiyeyusha!!
Endeleaa kukanda mpaka uwe mlaini kabisaaaa!!!