المدة الزمنية 7:3

TAMBI ZA KUKAANGA - KISWAHILI

239 090 مشاهدة
0
1.4 K
تم نشره في 2017/07/06

Mahitaji : Vermicelli - 1 pkt/180gms Samli - Kjk 1 1/2 Kikubwa Sukari - Vijiko 2 1/2 mpka 3 Hiliki ya unga robo kijiko Zabibu kavu - kiasi Baadhi ya viungo vengine kama utapenda ni - vijiti vya mdalasini, lozi na Vanilla

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 153
  • @
    @ashuramutwe3921منذ 5 سنوات Mashaallah! Tambi za kukaanga ni tamu sana! 2
  • @
    @zainabawadhabdallah3822منذ 6 سنوات Asalam aleikum ukhti.Mimi ni mmoja katika fans wako Naomba utuletee pishi la kisra kutumia unga wa mchele . Allah akuhifadhi kwa kazi yako njema unayo tuletea 4
  • @
    @khadijambuta4360منذ 6 سنوات shukrani ddaty leo in shaallah nitapika
  • @
    @aliceuwera5984منذ 4 سنوات Mansha Allah nafurahiya sana Allah akupe kila lakheri sister
  • @
    @hailinhelen4675منذ 4 سنوات mmhh tamu asante saana kwa mafunzo bora
  • @
    @Crabtree1844منذ 6 سنوات Nice! Hivi sasa naja kwako, ukisikia nabisha mlangu ufungue dada! :) 2
  • @
    @dorisandfarookمنذ 7 سنوات Wow! napenda sana tambi za kukaaga, asante. 1
  • @
    @ummusamira3518منذ 7 سنوات Shukran mpenzi wetu jazzakallahu lkheri vipi skukuu nawatoto mmemaliza salama tumekumisi Kiasi
  • @
    @emanuelissaya1079منذ 7 سنوات nimependa hizo tambi wkend hii ntajaribu kutengeneza 1
  • @
    @ummukulthumhafidh6599منذ 7 سنوات assalamu alaykum.shukraan sannnaa and we love u sooo much sis may ALLAH protect u and ur lovelly family aamin
  • @
    @mwanaishambili241منذ 7 سنوات karibu ma naona ulikuwa wafunga cta na kupumzika kidongo shukran kwa pishi la leo
  • @
    @asiaissa5431منذ 6 سنوات Habari my dada Aroma nimeangalia sijaona hivyo viungo vya mchuzi wa nyama ya ngombe
  • @
    @verynicemkaro7116منذ 7 سنوات Je waweza tumia tambi za kawaida zile nene
  • @
    @muhmahahmshaibrahim3109منذ 7 سنوات assalam alaykum tumekumiss..but tunashukuru umerudi salama..asante kwa tambi kwani ni chakula kitamu na fast..nazipenda asante 1
  • @
    @fatihiasalim8753منذ 4 سنوات Nzuri sanaaa hizi Tambi,ila Kama una maziwa Ni vizuri zaidi ukiweka maziwa badala ya maji ,pia zinakuwa na ladha muhimu ziive zisitote,shukran hbbty
  • @
    @salhamm742منذ 7 سنوات Asant sana Mung akubarik tuletee tena keki disain nyengin 3
  • @
    @ashaahmed1353منذ 7 سنوات Shukraan for reminding me about tambi.Sijafanya for long tym.Leo friday will make it Inshaallah. 1
  • @
    @aeshaha8770منذ 7 سنوات sawa maa naulizaje kwa fb pia unaweka video mana uku saudia kuna wi-fi za bure tatizo maa nikirudi nyumban nitakupataje kiuraisi
  • @
    @BillysFamilyمنذ 7 سنوات nitajaribu kupika tambi za kukaanga siku moja. Jee nimuhimu kutumia samli mana sina . 1
  • @
    @ansilaburra7528منذ 7 سنوات duh! vyakula vyako vitamu dada, what time is the lunch? I would like to join you 3
  • @
    @maralsaally4253منذ 4 سنوات Assalam alykum badili ya maji naeza tia nazi? au maziwa?
  • @
    @fatumabadi8منذ 7 سنوات shukran sana naomba kujua kupika chauro 1
  • @
    @husnanoor1368منذ 7 سنوات Je naweza tumia butter kama samli sina @Aroma
  • @
    @haronelisha4799منذ 7 سنوات je naweza hata kupikia tambi za saintalucia?
  • @
    @asabraabdulah1130منذ 7 سنوات assalam alaykum. habibty baadala ya maji huwezi ukaeka tuwi la nazi? 1
  • @
    @ramlamohammed1934منذ 4 سنوات Assalam Alaykum mm nataka kujua kupika faluda
  • @
    @Juhie_منذ 5 سنوات Tambi za kolson’s pasta unaweza pikia vileja vya tambi??
  • @
    @mariammust8210منذ 7 سنوات kama sina samli naweza tumia mafuta ya kawaida?
  • @
    @haronelisha4799منذ 7 سنوات ni za wheat flour,semolina na durum.izo ndo ingedients zake
  • @
    @swabriali4583منذ 4 سنوات Kwa utamu huu kwa nini nisiwe kibogoyo kwa kupenda sukari.
  • @
    @nahidabanuadam4455منذ 6 سنوات Recipe ya tambi za znz napikwa na nazi